Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Mei, 2017

2..🌹🌹UNATHAMANI SANA MACHONI PA MUNGU🌹🌹

Asante Mungu muumba wa mbingu na ardhi kwa wema wako na Upendo wa ajabu maishani mwangu.        🌻Pia napenda kukushukulu mpenzi msomaji wa blog hii kwa kuchukuwa mda wako nakusoma,Mungu akubariki na nina Imani Mungu wangu wa Mbinguni hata kuacha bure. ✏maisha huuanza ukitambuwa na kujuwa ni nini hasa kusudi la Mungu kaika misha yako,au nini lsngo la Mungu kukufanya wewe uwe hapo ulipo,thamani ya mwanadamu ni kuu sana machoni pa Mungu ila shetani mara nyingi amekuwa akimpofusha mwanadamu asitambuwe nia na lengo la Mungu katika maisha. Sasa ni hivi mwanadamu ukuzaliwa ili uwe wa matezo katika dunia,ila sasa shatani amdtupiga upofu ambapo tunashindwa kuelewa nia na kusudi la Mungu kwetu,maana lengo la Mungu ni kuwa kila mwanadamu aishi maisha ya Utakatifu na yakumpendeza Mungu,kumbuka nia na lengo la Mungu ni kukutowa huko uliko katika giza na kukuweka katika nuru lakini wanadamu tumekuwa ni wepesi sana kufuata ya  gizani kuliko yalio ka...

🌍KWANINI TUNASEMA VIBAYA JUU YA WATUMISHI WA MUNGU🌎

Picha
🌏💐Asante mungu kwa kuwa u mwema na pendo lako hakika la dumu katika maisha yangu. 🌈Napenda kuchukuwa fulsa hii kukualika ndugu mpenzi msomaji wa blog hii,ili uweze kufahau na kutambuwa nini kama wanadamu tunachokifanya au kusikia,na hata wakati mwingine kushabikia mambo mbalimbali yanayowahusu watumishi wa Mungu; 🌎💐Kambuka kuwa Wachungaji                                         Maasikofu                                         Mitume                      ...

🌷🌷UNATHAMANI SANA MACHONI PA MUNGU🌷🌷

Karibu tena mpenzi msomaji wa blog hii...        Napenda kuchukuwa fulsa hii kukushukulu kwa kuchukuwa mda wako na kusoma somo hili........             utangulizi .....                                      Isaya 53:5 ......Bali alijeluhiwa kwa makosa yetu,            Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona.. 🍎..Malanyingi tumekuwa watu wa lawama sana machoni pa Mungu na kuona kwamba Mungu ametuacha na kutusahau kabisa,ila tunasahau ni pendo la namna gani ambalo Mungu analo juu ya mwanadamu. 🍎..Kumbuka kwamba Mungu aliamua kumtowa mwanaye kwa ajili yangu mimi na na wewe ili tuweze kuwa huru n...

🌳BADO TUMAINI LIPO USIKATE TAMAA🌳

Daudi akasema nilikuwa kijana sasa ni mzee sijawahi ona mwenye haki wa MUNGU ameachwa,wala watoto wake kuomba omba mitaani.....           USIVUNJIKE MOYO....... Ni kweli pindi tunapokutana na tatizo huwa tunaumia sana na hata kukata tamaa kabisa ya maisha na kuona kwamba huna msaada wala hakuna tena tumaini jipya,usikate tamaa lipo tumaini....         LIPO TUMAINI JIPYA..... Kumbuka sasa kwamba MUNGU anasema nini juu ya mwanadamu na nini mpango wa MUNGU juu yako..               Yeremia 32:27 Tazama mimi ni MUNGU wa wote wenye mwili,je?kuna jambo lolote nisilo liweza.     Utaona kwamba yote tunayokutana nayo ni mapito tuu katika ulimwengu huu ,lakini pindi ambapo tunakutana na matatizo tunasahau kama yupomfaliji wa pekee mungu muumba aliye tufanya kwa mfano wake. Tunapita katika mambo mengi...Magonjwa    ...

🌹KUSUDI LA MUNGU KWA MWANADAMU

Mungu alimfanya mwanadamu kwa mfano wake na ndiyo maana akamtofautiaha na vyote vilivyomo duniani, Na kusudi la Mungu ilikuwa ni kila mtu aishi maisha ya UTAKATIFU. Lakini sasa binadamu wa leo tumegeuka na kuangalia mambo yetu zaid kuliko kuangalia Mungu anasema nini kuhusu Kanisa,na kila mtu kuishi akiwa na hofu ya Mungu ndani yake, Utaona katika kitabu cha                        Yakobo 4:1- Anawauliza vita vyatoka wapi mapigano yaliyomo kati yenu yatoka wapi,si humu katka tamaa zenu zifanyazo vita katika viungo vyenu......... Utagunduwa kuwa hata leo makanisa huyu hamtaki huyu na huyu haongei na huyu na wote tunajiita watu tulio okoka na tumekombolewa na damu ya Yesu,ule upendo wa kweli haupo watu wanapenda vyeo na pesa makanisani kuliko kutafuta uso wa MUNGU,dhambi haisemwi tena makanisani kisa watu watapunguwa na sijuwi ni mbigu ya namna gani tunayoelekea. Lakini ba...

kusudi la Mungu kwa mwanadamu

Ayubu 21:22 Mjue sana Mungu ili uwe na amani, ndivyo mema yatakavyo kujilia..... 🌲 Utatambuwa kuwa sehemu yoyote ambayo watu eneo hilo hawamjui Mungu hapawezi kuwa ma amani, 🌲 Hivyo basi kwa mtu anayemjuwa Mungu na kushika neno lake  lazima atakuwa na hofu ya Mungu ndani yake atakuwa hana ujasili wa kutenda dhambi. 🌲 pia utaona kwamba Mungu anasema ndivyo mema yatakavyokujilia,kumbe sasa pasipo kumjuwa Mungu huwezi kupata mema ya dunian wala ya Mbinguni.