Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Novemba 26, 2017

01..TAMBUA SABABU ZA WEWE KUWEPO DUNIANI

     ..Maisha ya mwanadamu huanza kwa kusudi maalumu,yawe ya kimwili au ya kiroho. Huwa kuna sababu kuu ambayo MUNGU ameweka ndani ya kila mwanadamu,lakini kama wanadamu tumeshindwa kujuwa na kutambuwa nini hasa kusudi LA Mimi kuwepo hapa dunian.      TAMBUWA UKUU WA MUNGU NDANI YA MAISHA YAKO...     KIla mwanadamu awaye yeyote chini ya juwa kuna kitu maalum ambacho Mungu ameweka ndani ya maisha ya kila mmoja, Kalama na vipawa mabalimbali vyote Mungu aliweka ndani ya mwanadam,lakini sasa wanadamu tumekuwa ni watu ambao tunashindwa kutumia kalama zetu na vipawa vyetu kama Mungu anavyotaka.              Habakuki ..2:1-      Mimi nitasimama katika zamu yangu,nitajiweka juu ya mnara,nitaangalia ili nione atakaloniambia,na jinsi nitakavyojibu juu ya kulala mika kwangu. Sasa kama wanadamu ambao tunajuwa kabisa kwamba tuna nia ya dhati kuwa ndani yangu n...