Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Januari 9, 2022

IMANI ILIYO KUU ITENDAYO KAZI NDANI MWAMINI NDANI YA KRISTO YESU.

@..Imani ni kuwa na hakika na mambo yatalajiwayo na bayana ya mambo yasio onekana. 1..kwa imani tunaamini Mungu ndiye muumba wa mbigu na nchi. 2..kwa imani tunapokea uweza na nguvu kutoka kwa Mungu. 3..kwa imani tunapokea uponyaji na tumepewa mamlaka ya kuponya wasio jiweza.                 MATHAYO 9 VS 20 @Kwa imani mwanamke aliamini akigusa pindobla vazi la Yesu atapona.        Kuna mambo 3 aliyoazimia moyoni mwake mwanamke huyu. 1.. kwanza alikuwa na imani moyoni mwake wala hakuwa na shaka. 2.. Aliamini hata Yesu asipomuombea ila akigusa pindo la vazi lake atapona. 3.. aliamini Yesu anaweza kuponya ugonjwa wake. Nb.. katika yote unayoyapitia katika maisha yako ya ka siku katika maisha haya yatupasa kuwa na imani iliyo kuu ndani ya KRISTO YESU na pasipo kuwa na shaka lolote.. #Mwakalinga Imani @The_Day_Of_Glory @mwakalinga26@gmail.com