🌍KWANINI TUNASEMA VIBAYA JUU YA WATUMISHI WA MUNGU🌎

🌏💐Asante mungu kwa kuwa u mwema na pendo lako hakika la dumu katika maisha yangu. 🌈Napenda kuchukuwa fulsa hii kukualika ndugu mpenzi msomaji wa blog hii,ili uweze kufahau na kutambuwa nini kama wanadamu tunachokifanya au kusikia,na hata wakati mwingine kushabikia mambo mbalimbali yanayowahusu watumishi wa Mungu; 🌎💐Kambuka kuwa Wachungaji Maasikofu Mitume ...