Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Mei 31, 2020

IMANI

Picha
πŸ”˜NENO LA UZIMA LEO. Somo.IMANI.Webrania 12. Shaloom Shaloom. πŸ”²Je, umewahi hisi bwana amekurudi/amekuadhibu? Wakati umemwani sana na  unampenda.? Nawasilimia mno, leo tuangalie kipengele hiki kwa kina *KURUDIWA NA MUNGU*  Na nina karibisha mawazo yako na uchangie leo.. *Webrania 12:5-14* πŸ–‹5 tena mmeyasahau yale maonyo, yasemayo nanyi kama kusema na wana, Mwanangu, usiyadharau marudia ya Bwana, Wala usizimie moyo ukikemewa naye; πŸ–‹6 Maana yeye ambaye Bwana ampenda, humrudi, Naye humpiga kila mwana amkubaliye. πŸ–‹7 Ni kwa ajili ya kurudiwa mwastahimili; Mungu awatendea kama wana; maana ni mwana yupi asiyerudiwa na babaye? πŸ–‹8 Basi kama mkiwa hamna kurudiwa, ambako ni fungu la wote, ndipo mmekuwa wana wa haramu ninyi, wala si wana wa halali. πŸ–‹9 Na pamoja na hayo tulikuwa na baba zetu wa mwili walioturudi, nasi tukawastahi; basi si afadhali sana kujitia chini ya Baba wa roho zetu na kuishi? πŸ–‹10 Maana ni hakika, hao kwa siku chache waliturudi kama walivyoona vema wenyewe; bali y...