Kusudi la Mungu kwa mwanadam
BE PART OF CHANGE
DHAMBI......ni uasi unaomuweka mwanadamu mbali na uso wa Mungu.....Mungu anapokuwa anamuita mwanadamu kwa sauti ya upole na mwanadamu anapopinga sauti ya Mungu,Mungu naye humuuacha mwanadamu afuate tamaa za moyo wake na uchafu wa kila namna,na mara nyingi mtu wa namna hii huishia njia ya upotevuni japo kusudi la Mungu ni kila mwanadam kuishi maisha ya Utakatifu na kumpendeza yeye
warumi..1:24
Kwa ajili ya hayo Mungu aliwaacha katika tamaa za mioyo yao,waufuate uchafu,hata wakavunjiana heshima ya miili yao.
Kumbuka tupo katika dunia iliyojaa kila aina ya uchafu na inawezekana bado hujajuwa ni uchafu wa namna gani hapa..tazama kuna mengi yanayofanya tuonekane wachafu na tusiofaa mbele za Mungu 1...dhambi za siri ambazo tunajuwa binadamu yoyote hakuoni ila juwa Mungu anatuona,uzinzi uasherati,masengenyo,chuki na mengine mengi ambayo hayafai mbele za Mungu....
Ndg.....bado mda upo wa kuanza upya na Mungu hujachelewa yeye ni wa rehema atakurehemu na utakuwa kiumbe kipya....
Ev...imani mwakalinga Email...mwakalinga26@gmail.com Blog..imanmwaka.blogspot.com Cont...0629112471/0676560578
Maoni
Chapisha Maoni